-
“Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
‘Mtumishi Aliye Kiziwi na Kipofu’
26, 27. Israeli wanakuwaje ‘mtumishi kiziwi na kipofu,’ na matokeo ni nini?
26 Mtumishi Mteule wa Mungu, Yesu Kristo, alibaki mwaminifu mpaka kifo. Ingawa hivyo Israeli, watu wa Yehova, wanakuwa mtumishi asiye mwaminifu, kiziwi tena kipofu kiroho. Akiwahutubia, Yehova anasema hivi: “Sikilizeni, enyi viziwi; tazameni, enyi vipofu, mpate kuona.
-
-
“Mteule Wangu, Ambaye Nafsi Yangu Imependezwa Naye”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
27 Lo, Israeli ameshindwa kwa njia ya kusikitisha kama nini! Kila mara watu wake wanaangukia ibada ya miungu-mashetani ya mataifa. Tena na tena, Yehova anaendelea kuwatuma wajumbe wake, lakini watu wake hawasikii. (2 Mambo ya Nyakati 36:14-16)
-