-
“Ninyi Ni Mashahidi Wangu”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
BWANA asema hivi, yeye afanyaye njia katika bahari; na mahali pa kupita katika maji yenye nguvu;
-
-
“Ninyi Ni Mashahidi Wangu”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Lakini vizuizi vya Babiloni si pingamizi kwa Mweza Yote, Yule ambaye zamani alifanya “njia katika bahari [Nyekundu]; na mahali pa kupita katika maji yenye nguvu”—ambayo inaelekea kuwa ni yale ya Yordani. (Kutoka 14:16; Yoshua 3:13) Vivyo hivyo, Koreshi, mwakilishi wa Yehova, ataufanya Eufrati wenye nguvu upungue na kuruhusu mashujaa wake wa vita waingie jijini.
-