Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Ninyi Ni Mashahidi Wangu”!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 17, 18. (a) Yehova anatoa unabii wa jambo gani “jipya”? (b) Ni kwa njia gani watu hao hawapaswi kuyakumbuka mambo ya kwanza, na kwa nini?

      17 Yehova analinganisha matendo yake ya mapema ya ukombozi na tendo lile analokaribia kufanya, akisema: “Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani.

  • “Ninyi Ni Mashahidi Wangu”!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 43:18

  • “Ninyi Ni Mashahidi Wangu”!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 18 Anaposema, “msiyakumbuke mambo ya kwanza,” Yehova hadokezi kwamba watumishi wake wafute akilini matendo yake yaliyopita ya wokovu. Mengi ya hayo ni sehemu ya historia ya Israeli iliyopuliziwa kimungu, na Yehova aliamuru kwamba lile tukio la kutoroka Misri likumbukwe kila mwaka kwenye mwadhimisho wa Kupitwa. (Mambo ya Walawi 23:5; Kumbukumbu la Torati 16:1-4) Hata hivyo, sasa Yehova anataka watu wake wamtukuze kwa sababu ya “neno jipya”—jambo watakalojionea wenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki