-
“Ninyi Ni Mashahidi Wangu”!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
20. Ni jinsi gani Israeli wa siku za Isaya hakutimiza takwa la Yehova?
20 Nyakati za kale mabaki waliorudishwa wa Israeli wanaonekana kuwa watu waliobadilika wanapolinganishwa na kizazi kiovu cha Isaya. Kuhusu kizazi hicho kiovu, Yehova anasema hivi: “Lakini hukuniita, Ee Yakobo, bali umechoka nami, Ee Israeli.
-