Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Shamba la Mizabibu na Mmilikaji Wake

      6, 7. (a) Ni nani aliye mmilikaji wa shamba la mizabibu, na shamba la mizabibu ni nini? (b) Mmilikaji aomba hukumu gani ifanywe?

      6 Mmilikaji ni nani, nalo shamba la mizabibu ni nini? Mmilikaji wa shamba la mizabibu ajibu maswali hayo anaposema: “Sasa, enyi wenyeji wa Yerusalemu, nanyi watu wa Yuda, amueni, nawasihi, kati ya mimi na shamba langu la mizabibu.

  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 5:3

  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 7 Naam, Yehova ndiye mmilikaji wa shamba hilo la mizabibu, naye ni kama mtu anayeenda mahakamani, akitaka hukumu itolewe kati yake na shamba lake la mizabibu linalokatisha tamaa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki