Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mungu wa Kweli Anatabiri Ukombozi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 10, 11. Kwa nini Yehova anaiona mifano kuwa aibu?

      10 Sasa Isaya anaeleza ubatili wa mifano isiyo hai na aibu inayowangoja wale wanaoifanyiza: “Wachongao sanamu [“mifano,” “NW”], wote ni ubatili; wala mambo yao yawapendezayo hayatafaa kitu; wala mashahidi wao wenyewe hawaoni, wala hawajui; ili watahayarike.

  • Mungu wa Kweli Anatabiri Ukombozi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 44:9

  • Mungu wa Kweli Anatabiri Ukombozi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 11 Kwa nini Mungu anaiona mifano hiyo kuwa ya aibu sana? Kwanza, haiwezekani kumwakilisha Mweza Yote kwa kutumia vitu halisi vinavyoonekana. (Matendo 17:29) Tena, kuabudu kiumbe badala ya Muumba ni kukaidi Uungu wa Yehova. Na je, kufanya hivyo si kushusha heshima ya mwanadamu, aliyeumbwa “kwa mfano wa Mungu”?—Mwanzo 1:27; Waroma 1:23, 25.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki