Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 13. Kwa nini ni upuzi wanadamu kuthubutu kushindana na makusudi ya Yehova?

      13 Baada ya kuelezea baraka hizo zenye shangwe za wakati ujao, unabii unageuka ghafula kuelekea upande mwingine, na Isaya anatangaza ole maradufu: “Ole wake ashindanaye na Muumba wake! kigae kimoja katika vigae vya dunia! Je! udongo umwambie yeye aufinyangaye; Unafanya nini? au kazi yako, Hana mikono?

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 45:9,

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Inaonekana kwamba wana wa Israeli wanaukataa utabiri wa Yehova. Labda hawaamini kwamba Yehova ataruhusu watu wake waende uhamishoni. Au labda wanaona ni makosa Israeli kukombolewa utumwani na mfalme wa taifa la kipagani badala ya kukombolewa na mfalme wa nyumba ya Daudi. Kuonyesha upuzi wa kukataa kwao, Isaya anawalinganisha wenye kukataa na mafungu ya udongo na vigae vilivyotupwa ambavyo eti vingethubutu kuitilia shaka hekima ya mwenye kuvitengeneza. Kitu kile kile kilichofanyizwa na mfinyanzi eti sasa kinasema mfinyanzi hana mikono wala uwezo wa kufanyiza vitu. Upumbavu gani huo!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki