Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili limetoka kinywani mwangu katika haki, wala halitarudi, ya kwamba mbele zangu kila goti litapigwa, kila ulimi utaapa.

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 45:22-

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Maneno ya Mungu yenyewe yanategemeka, lakini yanategemeka hata zaidi Yehova anapoyaongezea kiapo chake kuyathibitisha. (Waebrania 6:13) Kwa haki, yeye hutaka wale wanaotamani upendeleo wake wamwonyeshe unyenyekeo (“kila goti litapigwa”) na kuwajibika mbele zake (“kila ulimi utaapa”).

  • Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Katika barua yake kwa Waroma, mtume Paulo alinukuu tafsiri ya Septuagint ya Isaya 45:23 kuonyesha kwamba hatimaye kila mtu aliye hai atakiri enzi kuu ya Mungu na kusifu jina lake kwa uendelevu.—Waroma 14:11; Wafilipi 2:9-11; Ufunuo 21:22-27.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki