-
Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Mmoja ataniambia, Kwa BWANA, peke yake, iko haki [“kamili,” “NW”] na nguvu; naam, watu watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia watatahayarika.
-
-
Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Kila mwaka, mamia ya maelfu ya wapya huipanua idadi ya umati mkubwa kwa kumgeukia Mungu, wakitambua kikamili enzi yake kuu na kutangaza peupe ushikamanifu wao kwake. Zaidi ya hilo, wao huwaunga mkono Israeli wa kiroho, “mbegu ya Abrahamu.” (Wagalatia 3:29) Wao huonyesha wanaupenda utawala mwadilifu wa Yehova kwa kutangaza ulimwenguni pote hivi: ‘Kwa BWANA, peke yake, iko haki na nguvu kamili.’a
-
-
Yehova—“Mungu Mwenye Haki, Mwokozi”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
a Biblia ya New World Translation hutumia usemi “uadilifu kamili” kwa sababu maandishi ya Kiebrania yanaonyesha neno “uadilifu” kwa namna ya wingi. Hapa wingi umetumiwa kuonyesha utele wa uadilifu wa Yehova.
-