Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Hutufundisha kwa Faida Yetu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Kwa ajili ya nafsi yangu, kwa ajili ya nafsi yangu, nitatenda haya; je! litiwe unajisi jina langu? Wala sitampa mwingine utukufu wangu.” (Isaya 48:10, 11)

  • Yehova Hutufundisha kwa Faida Yetu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Wajapokuwa na mtazamo wa uasi, Yehova hakuliangamiza taifa hilo wakati huo, wala sasa hataliangamiza litokomee. Kwa njia hiyo jina lake na heshima yake zitatukuzwa. Kama watu wake wangeangamizwa na Wababiloni, yeye hangetimiza agano lake, na hapo jina lake lingetiwa unajisi. Ingeonekana kana kwamba Mungu wa Israeli amekuwa hoi asiweze kuwaokoa watu wake.—Ezekieli 20:9.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki