-
Yehova Hutufundisha kwa Faida YetuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
‘Mimi Ni wa Kwanza, Mimi Ni wa Mwisho’
14. (a) Ni jinsi gani Yehova alivyo “wa kwanza” na “wa mwisho”? (b) Yehova alitimiza kazi zipi zenye nguvu kwa “mkono” wake?
14 Sasa Yehova anawasihi watu wa agano lake kwa hisia changamfu: “Nisikilize mimi, Ee Yakobo; na Israeli, niliyekuita; mimi ndiye. Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho pia.
-
-
Yehova Hutufundisha kwa Faida YetuUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Mungu si kama mwanadamu, kwani Yeye ni wa milele na hana kigeugeu. (Malaki 3:6) Yehova anatangaza rasmi hivi katika Ufunuo: “Mimi ndiye Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.” (Ufunuo 22:13) Hakukuwako Mungu yeyote mweza yote kabla ya Yehova, wala hakutakuwako na yeyote baada yake.
-