Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Hutufundisha kwa Faida Yetu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Naam, mkono wangu umeuweka msingi wa dunia, na mkono wangu wa kuume umezitanda mbingu; niziitapo husimama pamoja.” (Isaya 48:12, 13)

  • Yehova Hutufundisha kwa Faida Yetu
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Yeye ndiye Mkuu Zaidi, Wa Milele, na Muumba. “Mkono” wake, yaani nguvu zake zikiwa katika hali ya kutumika, ndio ulioikaza dunia na kuzitandaza mbingu zenye nyota. (Ayubu 38:4; Zaburi 102:25) Anapoviita vitu alivyoviumba, vitu hivyo husimama chonjo, tayari kumtumikia.—Zaburi 147:4.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki