-
“Wakati wa Nia Njema”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
24. Sayuni atarudishwa jinsi gani, na atauliza maswali gani?
24 Yehova anatoa faraja ya ziada kupitia Isaya. Wale ‘waharibuo Sayuni,’ wawe ni Wababiloni au ni Wayahudi waasi-imani, wameacha kuwa tisho. “Watoto” wa Sayuni, yaani Wayahudi wahamishwa wanaobaki wakiwa waaminifu-washikamanifu kwa Yehova, ‘wamefanya haraka.’
-
-
“Wakati wa Nia Njema”Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wakiisha kurudi Yerusalemu upesi,
-