Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Wakati wa Nia Njema”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • “Ishara kwa Kabila za Watu”

      26. Yehova anawapa watu wake waliokombolewa mwelekezo gani?

      26 Kwa njia ya unabii, sasa Yehova anampeleka Isaya kwenye wakati ambao watu Wake watafunguliwa kutoka Babiloni. Je, watapokea mwelekezo wowote wa kimungu? Yehova anajibu hivi: “Tazama, nitawainulia mataifa mkono wangu [“ishara,” “NW”], na kuwatwekea kabila za watu bendera [“ishara,” “NW”] yangu; nao wataleta wana wako vifuani mwao, na binti zako watachukuliwa mabegani mwao.” (Isaya 49:22) Katika utimizo wa kwanza, jiji la Yerusalemu, ambalo hapo kwanza lilikuwa makao makuu ya serikali na mahali pa hekalu la Yehova, linakuwa “ishara” ya Yehova.

  • “Wakati wa Nia Njema”
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Halafu maneno ya Isaya yanatumika kwa njia nyingine tena.

      27. (a) Katika utimizo ulio mkubwa zaidi, ni “ishara” gani ambayo watu wataiendea makundi makundi? (b) Matokeo yatakuwa nini mataifa yote yalazimikapo kuuinamia utawala wa Mesiya?

      27 Isaya 11:10 hutaja “ishara kwa kabila za watu.” Mtume Paulo aliyatumia maneno hayo kumhusu Kristo Yesu. (Waroma 15:8-12) Hivyo, katika utimizo ulio mkubwa zaidi, Yesu na watawala wenzake waliotiwa mafuta kwa roho ni “ishara” ya Yehova ambayo kabila za watu zinaiendea makundi makundi. (Ufunuo 14:1)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki