-
Faraja kwa Watu wa MunguUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
7, 8. (a) Yehova ana maana gani anapotoa mwito watu watege sikio kumsikiliza? (b) Kwa nini ni muhimu Yuda wamsikize Yehova?
7 Yehova anaomba tena watu wake wamsikilize, akisema hivi: “Nisikilizeni mimi, enyi watu wangu; nisikieni, taifa langu; maana sheria itatoka kwangu, nami nitaistarehesha hukumu yangu iwe nuru ya mataifa.
-
-
Faraja kwa Watu wa MunguUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
8 Yehova anapotoa mwito watu watege sikio kumsikiliza, kinachohitajiwa si kuusikia ujumbe wake tu. Inamaanisha kutega sikio kwa lengo la kuyatenda yale yanayosikiwa. (Zaburi 49:1; 78:1) Ni lazima taifa lifahamu kwamba Yehova ndiye Chanzo cha maagizo, haki, na wokovu. Yeye peke yake ndiye Chanzo cha nuru ya kiroho. (2 Wakorintho 4:6) Yeye ndiye Hakimu anayekata kauli ya mwisho kuhusu wanadamu. Sheria na maamuzi ya hukumu zitokazo kwa Yehova ni nuru kwa wale wanaojiruhusu waongozwe nazo.—Zaburi 43:3; 119:105; Mithali 6:23.
-