Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondolea mwenye haki haki yake!” (Isaya 5:21-23) Yamkini waamuzi katika nchi hiyo ndio walioambiwa maneno hayo.

  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Wazee pia huepuka kabisa kuonekana kuwa wenye kupendelea. (Yakobo 2:9) Wazee hao ni tofauti kama nini na makasisi wa Jumuiya ya Wakristo! Makasisi wengi huficha watenda-dhambi mashuhuri na wenye mali miongoni mwao, kinyume kabisa cha maonyo ya mtume Paulo katika Waroma 1:18, 26, 27; 1 Wakorintho 6:9, 10; na Waefeso 5:3-5.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki