Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Atangaza hivi: “[Yehova] atawatwekea bendera mataifa toka mbali, naye atawapigia miunzi tokea mwisho wa nchi; na tazama, watakuja mbio mbio upesi sana.”—Isaya 5:26; Kumbukumbu la Torati 28:49; Yeremia 5:15.

      30. Ni nani atakayekusanya “taifa kubwa” dhidi ya watu wa Yehova, na matokeo yatakuwaje?

      30 Nyakati za kale, mhimili uliokuwa mahali palipoinuka ungalikuwa kama “bendera [“ishara,” NW],” au kama mahali pa kukusanyika, kwa watu au majeshi. (Linganisha Isaya 18:3; Yeremia 51:27.) Sasa Yehova mwenyewe atakusanya “mataifa [“taifa kubwa,” NW]” ili litekeleze hukumu yake.b ‘Atalipigia miunzi,’ yaani, atageuza fikira za taifa hilo kwa watu wake waliopotoka ambao ni kama chombo kinachostahili kutekwa.

  • Ole kwa Shamba la Mizabibu Lisilo na Uaminifu!
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • b Katika unabii mwingine mbalimbali, Isaya atambulisha Babiloni kuwa taifa linalotekeleza hukumu ya Yehova yenye kuangamiza dhidi ya Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki