-
‘Imbeni Pamoja kwa Shangwe’!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
19. (a) “Mahali pa Yerusalemu palipokuwa ukiwa” panakuwaje na kelele za furaha? (b) Yehova ‘ameuweka wazi mkono wake mtakatifu’ katika maana gani?
19 Huku watu wa Mungu wakiwa wanapaaza sauti kwa shangwe, hata makao yao yenyewe yanaonekana yakipiga kelele kwa furaha. Unabii unaendelea kusema hivi: “Pigeni kelele za furaha, imbeni pamoja [“kwa shangwe,” “NW”], enyi mahali pa Yerusalemu palipokuwa ukiwa; kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake, ameukomboa Yerusalemu.
-
-
‘Imbeni Pamoja kwa Shangwe’!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wale wanaorudi kutoka Babiloni wanapofika, sehemu za ukiwa wa Yerusalemu zenye sura ya maombolezo zinaonekana kama zinapiga kelele kwa furaha kwa sababu sasa ibada safi ya Yehova inaweza kurudishwa. (Isaya 35:1, 2)
-
-
‘Imbeni Pamoja kwa Shangwe’!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Tangu mwaka wa 1919, wameingizwa katika paradiso ya kiroho, makao ya kiroho wanayoyashiriki sasa pamoja na mamilioni ya washirika wao, wale kondoo wengine.
-