-
‘Imbeni Pamoja kwa Shangwe’!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
BWANA ameweka wazi mkono wake mtakatifu machoni pa mataifa yote; na ncha zote za dunia zitauona wokovu wa Mungu wetu.” (Isaya 52:9, 10)
-
-
‘Imbeni Pamoja kwa Shangwe’!Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Ni wazi kuwa mkono wa Yehova unahusika katika jambo hili. “Ameweka wazi mkono wake mtakatifu,” kana kwamba anakunja mikono ya shati lake kuwaokoa watu wake.—Ezra 1:2, 3.
20. Kumekuwako na bado kutakuwako matokeo gani kwa sababu Yehova ameuweka mkono wake ukiwa wazi nyakati za kisasa?
20 Katika hizi “siku za mwisho,” Yehova ameuweka wazi mkono wake mtakatifu ili kuwahuisha mabaki watiwa-mafuta, wale ‘mashahidi wawili’ wa kitabu cha Ufunuo. (2 Timotheo 3:1; Ufunuo 11:3, 7-13) Tangu mwaka wa 1919, wameingizwa katika paradiso ya kiroho, makao ya kiroho wanayoyashiriki sasa pamoja na mamilioni ya washirika wao, wale kondoo wengine. Mwishowe, Yehova atauweka wazi mkono wake mtakatifu awaletee watu wake wokovu kwenye “Har-Magedoni.” (Ufunuo 16:14, 16) Hapo ndipo “ncha zote za dunia zitauona wokovu wa Mungu wetu.”
-