Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova Amkweza Mtumishi Wake wa Kimesiya
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • ndivyo atakavyowasitusha mataifa mengi; wafalme watamfumbia vinywa vyao; maana mambo wasiyoambiwa watayaona; na mambo wasiyoyasikia watayafahamu.” (Isaya 52:14a, 15) Kwa maneno hayo, Isaya anaeleza, si juu ya kutokea kwa Mesiya mara ya kwanza, bali juu ya kukabiliana kwake na watawala wa kidunia mara ya mwisho.

  • Yehova Amkweza Mtumishi Wake wa Kimesiya
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Ni kweli kuwa watawala wa kibinadamu hawatamwona kihalisi Yesu aliyetukuzwa. Lakini wataona dalili za waziwazi za kuthibitisha nguvu zake akiwa Mpiganaji wa kimbingu mwenye kumtetea Yehova. (Mathayo 24:30) Watalazimika kulifahamu jambo ambalo hawajawahi kusikia likisimuliwa na viongozi wa kidini—kwamba Yesu ndiye Mfikilizaji wa hukumu za Mungu! Mtumishi aliyekwezwa watakayekutana naye atatenda kwa njia ambayo hawaitazamii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki