-
Yehova Amkweza Mtumishi Wake wa KimesiyaUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
21, 22. (a) Mesiya alichukua na kujitwika nini kwa ajili ya wengine? (b) Wengi walimwonaje Mesiya, na kuteseka kwake kulifikia upeo gani?
21 Kwa nini Mesiya alilazimika kuteseka na kufa? Isaya anaeleza hivi: “Hakika ameyachukua masikitiko [“magonjwa,” “NW”] yetu, amejitwika huzuni zetu [“maumivu yetu,” “NW”]; lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa [“kwa tauni,” “NW”], amepigwa na Mungu, na kuteswa.
-