Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yule Mwanamke Tasa Ashangilia
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 21, 22. (a) Kwa nini “Yerusalemu la juu” linasemwa kwamba linateswa na kurushwa na tufani? (b) Hali yenye baraka ya “mwanamke” wa kimbingu wa Mungu ingemaanisha nini kuhusu “wazao” wake duniani?

      21 Yehova anaendelea kutabiri kwamba watu wake waaminifu watapata usalama: “Ewe uliyeteswa, uliyerushwa na tufani, usiyetulizwa, tazama, nitaweka mawe yako kwa rangi nzuri [“chokaa ngumu,” “NW”], nitaweka misingi yako kwa yakuti samawi.

  • Yule Mwanamke Tasa Ashangilia
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 54:11

  • Yule Mwanamke Tasa Ashangilia
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 22 Ni wazi kuwa “mwanamke” wa Yehova katika makao ya roho hajawahi kuteswa moja kwa moja wala kurushwa-rushwa na tufani. Lakini aliteseka wakati “wazao” wake watiwa-mafuta duniani walipoteseka, hasa walipokuwa katika utekwa wa kiroho katika kile kipindi cha mwaka wa 1918 mpaka mwaka wa 1919. Hata hivyo, wakati yule “mwanamke” wa kimbingu anapokwezwa, hiyo inaonyesha kwamba wazao wake pia wanakwezwa. Basi, yafikirie maelezo ya kuvutia sana yanayotolewa kuhusu “Yerusalemu la juu.” Wazo linalotokezwa na mawe yake ya thamani juu ya malango, “chokaa ngumu” ya bei ghali, misingi yake, na hata mipaka yake ni kwamba yeye ana “uzuri, fahari, utakato, nguvu, na uimara,” kama vile kichapo kimoja cha marejezo kinavyosema. Ni nini kingewafanya Wakristo watiwa-mafuta wawe na hali ya usalama na baraka jinsi hiyo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki