-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
24, 25. Ni baraka zipi zinazowangoja wahamishwa Wayahudi wanaotenda kulingana na ujumbe wa Yehova kupitia Isaya?
24 Basi, Wayahudi wakitii maneno yaliyotamkwa kwa faida yao kupitia Isaya, hakika wataupokea wokovu ambao Yehova ameahidi. Halafu watapata shangwe kubwa. Yehova anasema hivi: “Mtatoka kwa furaha, mtaongozwa kwa amani; mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; na miti yote ya kondeni itapiga makofi.
-
-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
25 Katika mwaka wa 537 K.W.K., kweli wahamishwa Wayahudi wanatoka Babiloni kwenda zao wakishangilia. (Zaburi 126:1,2)
-
-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Baraka ya Yehova inaonekana wazi sana huku watu wake wakimtumikia ‘kwa nyimbo.’ Ni kana kwamba nchi yenyewe ndiyo inayoshangilia.
26. Leo watu wa Mungu wanafurahia hali gani yenye baraka?
26 Mwaka wa 1919 mabaki ya Wakristo watiwa-mafuta walikombolewa katika utekwa wao wa kiroho. (Isaya 66:8) Wakiwa pamoja na umati mkubwa wa kondoo wengine, sasa wanamtumikia Mungu wakishangilia katika paradiso ya kiroho.
-