-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
na badala ya mibigili [“upupu unaowasha ngozi,” “NW”], mhadesi; jambo hili litakuwa la kumpatia BWANA jina, litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.”—Isaya 55:12, 13.
-
-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
Wanapofika Yerusalemu, wanakuta nchi imejaa michongoma, au vichaka vya miiba, na upupu unaowasha ngozi—kumbuka kwamba nchi hiyo imekaa ukiwa muda wa miongo mingi. Lakini sasa watu wa Mungu waliorudishwa kwao wanaweza kufanya mabadiliko ya kupendeza sana! Miti mirefu sana, kama vile mhadesi, inachukua mahali pa miiba na pupu zinazowasha ngozi.
-
-
Ujumbe Wenye Tumaini kwa Mateka Walioshuka MoyoUnabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
-
-
26. Leo watu wa Mungu wanafurahia hali gani yenye baraka?
26 Mwaka wa 1919 mabaki ya Wakristo watiwa-mafuta walikombolewa katika utekwa wao wa kiroho. (Isaya 66:8) Wakiwa pamoja na umati mkubwa wa kondoo wengine, sasa wanamtumikia Mungu wakishangilia katika paradiso ya kiroho. Kwa kuwa hawana doa lolote la mavutano ya Kibabiloni, wanafurahia kuwa na hali inayokubalika, na hali hiyo ‘imempatia Yehova jina.’ Ufanisi wao wa kiroho unatukuza jina lake na kumkweza kwa kuonyesha kwamba yeye ndiye Mungu wa unabii wa kweli. Mambo ambayo Yehova amewatimizia yanaonyesha Uungu wake, na yanashuhudia kwamba yeye hutimiza ahadi yake kwa uaminifu na kwamba huwaonyesha rehema wale wanaotubu.
-