Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Unafiki Wafichuliwa!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Ndipo utaita, na BWANA ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa.” (Isaya 58:8, 9a)

  • Unafiki Wafichuliwa!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Tena atajibu vilio vyao vya msaada bila kukawia.—Kutoka 14:19, 20, 31.

      13. Ni baraka zipi zinazowangoja Wayahudi ikiwa wataitikia himizo la Yehova?

      13 Sasa Yehova anaongeza jambo jingine kwenye himizo lake lililotangulia. Anasema hivi: “Kama ukiiondoa nira [ya utumwa mkali sana, wenye dhuluma]; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole [yawezekana kwa madharau au mashtaka ya uwongo], wala kunena maovu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki