Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 10. Isaya anafanya ungamo gani kwa niaba ya Yuda?

      10 Yehova hawezi kuzibariki njia za Yuda zilizo kombokombo na zenye uharibifu. (Zaburi 11:5) Hivyo basi, akiongea kwa niaba ya taifa zima, Isaya anaungama hatia ya Yuda: “Hukumu ya haki i mbali nasi, wala haki haitufikilii; twatazamia nuru, na kumbe! latokea giza; twatazamia mwanga, lakini twaenda katika giza kuu.

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 59:9

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Wayahudi hawajaacha Neno la Mungu liwe taa kwa miguu yao na mwanga kwa njia yao. (Zaburi 119:105) Matokeo ni kwamba, mambo yao yanaonekana kuwa yenye giza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki