Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Ubaya zaidi ni kwamba, wanaona ni rahisi kuwanasa watu wowote wanaojaribu kutenda mema kwa moyo mweupe. Tunasoma hivi: “Kweli imepunguka kabisa, na yeye auachaye uovu ajifanya kuwa mateka.”—Isaya 59:15a.

      13. Yehova atafanya nini kwa kuwa mahakimu wa Yuda wanafanya kazi yao kizembe?

      13 Wale wanaoshindwa kutoa sauti ya kupinga upotovu wa maadili wanasahau kwamba Mungu si kipofu, si mjinga, wala si mnyonge. Isaya anaandika hivi: “BWANA akaona hayo, akachukizwa kwa kuwa hapana hukumu ya haki.

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 59:15b,

  • Mkono wa Yehova Haujawa Mfupi
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Lakini unabii wa Isaya unaonyesha kwamba Yehova hufuatilia kwa makini mambo ya kibinadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki