Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Baraka ya Yehova Juu ya “Nchi” Yetu
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Machi 1
    • 15. Ni nini kionyeshacho kwamba si kila mtu atakayekubali maandalizi ya Mungu ya uhai, nalo tokeo la mwisho ni nini kwa watu kama hao?

      15 Bila shaka, si wote huitikia ujumbe wa uhai ifaavyo sasa; wala si wote watakaofufuliwa wakati wa Utawala wa Milenia wa Kristo wataitikia ifaavyo. (Isaya 65:20; Ufunuo 21:8) Malaika atangaza kwamba sehemu fulani za bahari haziponywi. Sehemu hizo zenye matope, zisizo na uhai ‘zaachwa ziwe za chumvi.’ (Ezekieli 47:11) Kwa habari ya watu wa siku yetu, si wote huyakubali maji ya Yehova yenye kutokeza uhai wanayopewa. (Isaya 6:10) Kwenye Har–Magedoni, wale wote ambao wamechagua kubaki katika hali isiyo na uhai na yenye ugonjwa kiroho wataachiwa chumvi, yaani, wataharibiwa milele. (Ufunuo 19:11-21) Hata hivyo, wale ambao wamekuwa wakinywa maji hayo kwa uaminifu wanaweza kutumaini kuokoka na kuona utimizo wa mwisho wa unabii huu.

  • Baraka ya Yehova Juu ya “Nchi” Yetu
    Mnara wa Mlinzi—1999 | Machi 1
    • Kwa kuhuzunisha, hata katika Paradiso, watu fulani watakataa kuponywa. Waasi hao ndio wale ‘walioachiwa chumvi’ ya uharibifu wa milele.—Ufunuo 20:15.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki