-
Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Kwa muda wa miaka minane tu, Aleksanda aliteka maeneo mengi yaliyojulikana wakati huo. Lakini katika mwaka wa 323 K.W.K., akiwa na umri wa miaka 32, Aleksanda aliugua malaria na kufa huko Babiloni.—Da 8:8.
-
-
Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Baada ya utawala wa Aleksanda, majenerali wake wanne walitawala milki hiyo kubwa
▪ Kasanda
▫ Lisimako
○ Ptolemy wa Kwanza
• Seleuko wa Kwanza
-