Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wakati wa Kuja Kwa Mesiya Wafunuliwa
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Mwanzo wa maombi yako ilitolewa amri, nami nimekuja kukupasha habari; maana wewe unapendwa sana; basi itafakari habari hii, na kuyafahamu maono haya.” Lakini kwa nini Danieli amwita “mtu yule, Gabrieli”? (Danieli 9:20-23)

  • Wakati wa Kuja Kwa Mesiya Wafunuliwa
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Akiwa mtu aliyemcha Mungu kwelikweli, Danieli aliitwa mtu ‘apendwaye sana.’ Yehova, ‘Asikiaye kuomba [“sala,” NW],’ alimpenda, naye Gabrieli alitumwa haraka ili kuijibu sala ya Danieli ya imani.—Zaburi 65:2.

      12 Hata wakati ambapo kusali kwa Yehova kulikuwa kumehatarisha uhai wake, Danieli aliendelea kusali kwa Mungu mara tatu kwa siku. (Danieli 6:10, 11) Haikosi ndiyo sababu Yehova alimpenda sana! Sala, na pia kutafakari Neno la Mungu kulimwezesha Danieli kujua mapenzi ya Yehova. Danieli alisali daima na alijua jinsi ya kumfikia Yehova ifaavyo ili sala zake zijibiwe. Alikazia uadilifu wa Mungu. (Danieli 9:7, 14, 16) Na ingawa adui zake hawakumpata na kosa lolote, Danieli alijua kwamba alikuwa mtenda-dhambi machoni pa Mungu naye alitubu dhambi zake kwa utayari.—Danieli 6:4; Waroma 3:23.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki