Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Aokolewa Asiliwe na Simba!
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • 15. (a) Dario alitendaje alipopashwa habari na mawaziri na maliwali? (b) Mawaziri na maliwali walionyeshaje hata zaidi kwamba walimdharau Danieli?

      15 Huenda mawaziri na maliwali walimtarajia mfalme awathawabishe kwa kazi yao ya kupeleleza kwa werevu. Ikiwa ndivyo, basi waliambulia patupu. Dario alitaabishwa sana na habari alizopashwa. Badala ya kumkasirikia Danieli au kuagiza atupwe kwenye tundu la simba mara moja, Dario alijaribu siku nzima kumwokoa. Lakini hakufua dafu.

  • Aokolewa Asiliwe na Simba!
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
    • Danieli 6:14,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki