-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Yoeli na cha AmosiMnara wa Mlinzi—2007 | Oktoba 1
-
-
2:32—Inamaanisha nini ‘kuliitia jina la Yehova’? Kuliitia jina la Mungu kunamaanisha kulijua jina hilo, kuliheshimu sana, na kumtegemea na kumtumaini mwenye jina hilo.—Waroma 10:13, 14.
-
-
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Yoeli na cha AmosiMnara wa Mlinzi—2007 | Oktoba 1
-
-
2:28-32. Yule tu ‘anayeliitia jina la Yehova ndiye atakayeokoka’ “ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.” Tunashukuru kama nini kwamba Yehova anamimina roho yake juu ya kila namna ya mwili na anawatumia vijana kwa wazee, wanaume na wanawake, katika kazi ya kutoa unabii, yaani, kutangaza “mambo makuu ya Mungu”! (Matendo 2:11) Siku ya Yehova inapozidi kukaribia, je, hatupaswi kujaa “matendo matakatifu ya mwenendo na vitendo vya ujitoaji-kimungu”?—2 Petro 3:10-12.
-