Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jitahidi Kuwaona Wengine Kama Yehova Anavyowaona
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Machi 15
    • Nabii Amosi aliyeishi karibu wakati mmoja na Yona, alisema kwamba siku hizo Waisraeli walipenda vitu vya kimwili na anasa.b Uovu ulikuwa umeenea sana nchini, lakini Waisraeli hawakujali hata kidogo. (Amosi 3:13-15; 4:4; 6:4-6)

  • Jitahidi Kuwaona Wengine Kama Yehova Anavyowaona
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Machi 15
    • b Yeroboamu wa Pili alizidisha utajiri wa ufalme wa kaskazini kutokana na ushindi mkubwa aliopata, kurudishwa kwa maeneo yaliyokuwa yametekwa, na ushuru ambao yaelekea alikusanya.—2 Samweli 8:6; 2 Wafalme 14:23-28; 2 Mambo ya Nyakati 8:3, 4; Amosi 6:2.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki