Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Novemba 15
    • Alikuwa “Amazia kuhani wa Betheli.” (Amosi 7:10) Jiji la Betheli lilikuwa kituo cha dini ya uasi-imani ya Israeli, ambayo ilihusisha ibada ya ndama. Kwa hiyo, Amazia alikuwa kuhani wa dini rasmi ya taifa hilo.

  • Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri
    Mnara wa Mlinzi—2004 | Novemba 15
    • Alijaribu pia kuichochea serikali ipige marufuku kazi ya Amosi, akimwambia hivi Mfalme Yeroboamu wa Pili: “Amosi amepanga hila juu yako ndani ya nyumba ya Israeli.” (Amosi 7:10) Naam, Amazia alimshtaki Amosi kwamba alikuwa ametenda kosa la uhaini!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki