-
Hukumu ya Yehova Itakuja Juu ya WaovuMnara wa Mlinzi—2004 | Novemba 15
-
-
Yehova alitabiri kwamba “anayelima atampita anayevuna.” Hebu wazia jambo hilo—mavuno yangekuwa mengi sana hivi kwamba majira ya kulima na kupanda yangefika kabla ya mavuno mengine kukusanywa ghalani!
-