Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wenye Shangwe Katika Mungu wa Wokovu Wetu
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Februari 1
    • 12. Mungu atawafanya nini adui zake, lakini ni nani atakayeokolewa?

      12 Nabii huyo aendelea kufafanua matendo ya Yehova anapowaharibu adui Zake. Kwenye Habakuki 3:12, twasoma: “Ulikwenda katikati ya nchi kwa ghadhabu; ukawapura mataifa kwa hasira.”

  • Wenye Shangwe Katika Mungu wa Wokovu Wetu
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Februari 1
    • Hata hivyo, leo mataifa yanajaribu kufutilia mbali ibada safi. Karibuni, watumishi wa Yehova watashambuliwa na majeshi ya Gogu wa Magogu. (Ezekieli 38:1–39:13; Ufunuo 17:1-5, 16-18) Je, mashambulizi hayo ya kishetani yatafaulu? La! Wakati huo Yehova atawaponda adui zake kwa hasira, akiwakanyaga kama nafaka kwenye sakafu ya kupuria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki