Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waovu Wataendelea Hata Lini?
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Februari 1
    • Naam, huwadhihaki wafalme, na wakuu ni kitu cha kudharauliwa kwake; huidharau kila ngome; kwa maana hufanya chungu ya mavumbi, na kuitwaa.

  • Waovu Wataendelea Hata Lini?
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Februari 1
    • 12. Wababiloni wana mtazamo gani, na adui huyo mwenye nguvu sana ‘anakuwa na hatia’ ya nini?

      12 Jeshi la Wakaldayo lawacheka wafalme na kuwadhihaki maofisa wakuu, ambao wote hawana nguvu za kukomesha mashambulizi yake makali. “Huidharau kila ngome,” kwa kuwa ngome yoyote ile huanguka Wababiloni ‘wafanyapo chungu ya mavumbi’ na kuishambulia toka hapo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki