Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Siku ya Hukumu ya Yehova I Karibu!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Februari 15
    • 17. Kulingana na Sefania 1:14-16, siku ya hukumu ya Yehova i karibu kadiri gani?

      17 Siku ya hukumu ya Yehova i karibu kadiri gani? Kulingana na Sefania 1:14-16, Mungu ahakikisha hivi: “Hiyo siku ya BWANA iliyo kuu i karibu; i karibu, nayo inafanya haraka sana; naam, sauti ya siku ya BWANA; shujaa hulia kwa uchungu mwingi huko!

  • Siku ya Hukumu ya Yehova I Karibu!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Februari 15
    • 18. Kwa nini hatupaswi kuamua kwamba siku ya hukumu ya Yehova i mbali sana?

      18 Makuhani, wakuu, na watu wa Yuda wenye dhambi walionywa kwamba ‘siku ya BWANA iliyo kuu ilikuwa karibu.’ ‘Siku ya Yehova ingefanya haraka sana’ kwa ajili ya Yuda. Hali kadhalika leo, mtu yeyote asidhani ya kwamba kutekelezwa kwa hukumu ya Yehova dhidi ya waovu ku mbali sana. Badala yake, kama vile ambavyo Mungu alichukua hatua haraka huko Yuda, ndivyo ‘atakavyoharakisha’ siku yake ya kutekeleza hukumu. (Ufunuo 16:14, 16) Utakuwa wakati wenye uchungu kama nini kwa wote wanaopuuza maonyo ya Yehova yanayotolewa na Mashahidi wake na ambao hukataa ibada ya kweli!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki