Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nahumu, cha Habakuki, na cha Sefania
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Novemba 15
    • 3:9—“Lugha safi” ni nini, na inazungumzwa jinsi gani? Lugha safi ni kweli ya Mungu iliyo katika Neno lake, Biblia. Inatia ndani mafundisho yote ya Biblia. Tunaizungumza tunapoamini kweli, tunapowafundisha wengine kwa njia inayofaa, na tunapoishi kupatana na mapenzi ya Mungu.

  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nahumu, cha Habakuki, na cha Sefania
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Novemba 15
    • 3:8, 9. Tunapoingojea siku ya Yehova, tunajitayarisha kuokoka kwa kujifunza kuongea “lugha safi” na ‘kuliitia jina la Mungu’ kwa kujiweka wakfu kwake kibinafsi. Pia, tunamtumikia Yehova “bega kwa bega” tukishirikiana na watu wake na kumtolea “dhabihu ya sifa” kama zawadi.—Waebrania 13:15.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki