-
‘Penda Kweli na Amani’!Mnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
-
-
16, 17. Watu wa mataifa wawezaje ‘kuomba fadhili za Yehova’?
16 Lakini, hayo mamilioni yote ya watu waliohudhuria Ukumbusho yalitoka wapi? Tamko la tisa la Yehova laeleza: “BWANA wa majeshi asema hivi, Itatokea halafu ya kwamba watakuja mataifa na wenyeji wa miji mingi;
-
-
‘Penda Kweli na Amani’!Mnara wa Mlinzi—1996 | Januari 1
-
-
17 Watu waliohudhuria Ukumbusho walitaka ‘kumtafuta Yehova wa majeshi.’ Wengi wao walikuwa watumishi wake waliojiweka wakfu na kubatizwa. Mamilioni ya wengine waliohudhuria hawakuwa wamefikia hatua hiyo. Katika nchi fulani hudhurio la Ukumbusho lilikuwa mara nne au tano kuliko idadi ya wahubiri wa Ufalme.
-