Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yehova—Chanzo cha Haki na Uadilifu wa Kweli
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Agosti 1
    • Waliponyamaza, Yesu alijibu swali lake mwenyewe kwa kuuliza kama hawangemwokoa kondoo aliyeanguka shimoni siku ya sabato.b

  • Yehova—Chanzo cha Haki na Uadilifu wa Kweli
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Agosti 1
    • b Yesu alichagua kielelezo bora kwa sababu sheria ya mdomo ya Wayahudi iliwaruhusu hasa kusaidia mnyama aliyekuwa katika taabu siku ya sabato. Katika pindi nyingine kadhaa, kulikuwa na mabishano kuhusu suala hilohilo, yaani, kama iliruhusiwa kisheria kuponya siku ya Sabato.—Luka 13:10-17; 14:1-6; Yohana 9:13-16.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki