-
‘Yule Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi!Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 1
-
-
“Mtumwa Huyo Mwovu”
2, 3. Jamii ya “mtumwa huyo mwovu” ilitoka wapi, nayo ilisitawi jinsi gani?
2 Yesu alimtaja mtumwa mwovu mara tu baada ya kuzungumza kuhusu “mtumwa mwaminifu na mwenye busara.” Alisema: “Mtumwa huyo mwovu akisema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia,’
-
-
‘Yule Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi!Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 1
-
-
Maneno “mtumwa huyo mwovu” yanakazia maneno ya Yesu yaliyotangulia kuhusu mtumwa mwaminifu na mwenye busara. Naam, wale wanaofanyiza “mtumwa huyo mwovu” walitoka miongoni mwa jamii ya mtumwa mwaminifu.a Jinsi gani?
3 Kabla ya mwaka wa 1914 washiriki wengi wa jamii ya mtumwa mwaminifu walikuwa na matazamio makubwa ya kukutana na Bwana-arusi mbinguni mwaka huo, lakini matazamio yao hayakutimizwa. Kwa sababu hiyo na hali nyingine, wengine walikata tamaa na wachache wakawa wenye uchungu.
-