-
‘Yule Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi!Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 1
-
-
“Ufalme wa mbinguni utakuwa kama mabikira kumi waliochukua taa zao na kwenda kumpokea bwana-arusi.
-
-
‘Yule Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi!Mnara wa Mlinzi—2004 | Machi 1
-
-
Mabikira hao kumi hutukumbusha Wakristo watiwa-mafuta kabla ya mwaka wa 1914. Walikuwa wamepiga hesabu na kujua kwamba bwana-arusi, Yesu Kristo, alikuwa karibu kutokea. Hivyo ‘wakaenda’ kumpokea, huku wakihubiri kwa ujasiri kwamba “nyakati zilizowekwa za mataifa” zingeisha mwaka wa 1914.—Luka 21:24.
-