Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Endeleeni Kutenda Mema
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Mei 15
    • Na mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya jambo gani linalozidi lile la kawaida? Je, watu wa mataifa pia hawafanyi jambo hilohilo?” (Mt. 5:46, 47)

  • Endeleeni Kutenda Mema
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Mei 15
    • 7. Kwa nini halingekuwa jambo linalozidi lile la kawaida ikiwa tungewasalimu “ndugu” zetu tu?

      7 Salamu ya kawaida ya Wayahudi ilitia ndani neno “amani.” (Amu. 19:20; Yoh. 20:19) Kusudi la salamu hiyo lilikuwa kumtakia mtu afya njema, hali njema, na ufanisi. Halingekuwa ‘jambo linalozidi lile la kawaida’ ikiwa tungewasalimu tu wale ambao tunawaona kuwa “ndugu” zetu. Kama Yesu alivyoonyesha, “watu wa mataifa” walifanya vivyo hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki