-
“Tufundishe Sisi Kusali”Mnara wa Mlinzi—1996 | Julai 15
-
-
“BWANA, tufundishe sisi kusali.” Ombi hilo lilitolewa na mmoja wa wanafunzi wa Yesu Kristo. (Luka 11:1) Ni wazi kwamba mwanafunzi huyo asiyetajwa kwa jina alikuwa mtu aliyethamini sala kwa kina.
-
-
“Tufundishe Sisi Kusali”Mnara wa Mlinzi—1996 | Julai 15
-
-
Hata hivyo, maneno “tufundishe sisi kusali” hutokeza maswali fulani mazito. Ulimwenguni pote njia nyingi za kumfikia Mungu hutumiwa na dini tofauti-tofauti. Lakini je, kuna njia ifaayo na isiyofaa ya kusali?
-