Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutembea Pamoja na Mungu—Tukifikiria Umilele
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Novemba 15
    • Kwa hiyo akasema, ‘Hakika nitafanya hili: Hakika nitabomoa ghala zangu na kujenga zilizo kubwa zaidi, na humo hakika nitakusanya nafaka yangu yote na vitu vyangu vyema vyote;

  • Kutembea Pamoja na Mungu—Tukifikiria Umilele
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Novemba 15
    • —Luka 12:16-21.

      15 Je, hoja ya Yesu ilikuwa kwamba tajiri hakupaswa kujitahidi kupata vitu vya kimwili ili awe salama wakati ujao? La, kwa kuwa Maandiko hutia moyo kufanya kazi kwa bidii. (2 Wathesalonike 3:10) Kosa la tajiri huyo lilikuwa kwamba hakufanya yaliyokuwa ya lazima ili kuwa “tajiri kuelekea Mungu.” Hata ikiwa angeliweza kufurahia utajiri kwa miaka mingi, angelikufa hatimaye. Alikosa busara kwa kutofikiria umilele.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki