-
“Yehova, Mungu Mwenye Rehema na Neema”Mnara wa Mlinzi—1998 | Oktoba 1
-
-
Nanyi leteni fahali mchanga aliyenoneshwa, mchinjeni na acheni tule na kujifurahisha wenyewe,
-
-
“Yehova, Mungu Mwenye Rehema na Neema”Mnara wa Mlinzi—1998 | Oktoba 1
-
-
Lakini baba alifanya mengi hata zaidi. Aliagiza kuwe na karamu ya kusherehekea kurudi kwa mwana wake. Kwa wazi, mwanamume huyu hakumsamehe mwana wake shingo upande au kwa sababu kurudi kwake kulimlazimisha afanye hivyo; alitaka kumsamehe. Jambo hilo lilimfanya ashangilie.
-