-
Alikata “Kauli Moyoni Mwake”Mnara wa Mlinzi—2008 | Oktoba 1
-
-
Kisha, siku ya 40, walimpeleka kutoka Bethlehemu hadi kwenye hekalu huko Yerusalemu, lililokuwa umbali wa kilomita kadhaa, na kutoa matoleo ya kujitakasa ambayo Sheria iliwaruhusu maskini kutoa, yaani, njiwa-tetere wawili au hua wawili. Hata kama waliaibika kwa sababu hawangeweza kutoa kondoo-dume na njiwa-tetere kama wazazi wengine waliokuwa na uwezo, walipuuza hisia hizo.
-