-
“Akawasikitikia”‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
12 Fikiria kisa kingine. Mwaka wa 31 W.K., Yesu alipokaribia jiji la Naini, aliona kisa chenye kuhuzunisha. Msafara wa maziko ulikuwa ukiondoka jijini, labda ukielekea makaburi ya karibu yaliyokuwa milimani ili kumzika “mwana mzaliwa-pekee wa . . . mjane.” Je, unaweza kuwazia huzuni ya mama huyo? Alikuwa karibu kumzika mwana wake wa pekee, naye hakuwa na mume wa kumliwaza.
-