-
Arusi Zenye Kuheshimika Machoni pa Mungu na WanadamuMnara wa Mlinzi—2006 | Oktoba 15
-
-
Baadaye, huenda walifanya karamu kama ile inayotajwa kwenye Yohana 2:1. Tafsiri nyingi za Biblia zinatafsiri mstari huo hivi: “Palikuwa na arusi huko Kana.” Lakini kwa kufaa neno la awali linatafsiriwa “karamu ya ndoa.”a (Mathayo 22:2-10; 25:10; Luka 14:8) Simulizi hilo linaonyesha wazi kwamba Yesu alikuwapo naye akachangia shangwe kwenye karamu hiyo iliyohusiana na arusi ya Kiyahudi.
-